Thursday, August 9, 2012

TAARIFA KWA WANAFUNZI

  • BTP kwa wanafunzi wa MFAHE inatarajiwa kuanza tarehe 10th september 2012 na kumaliza tarehe 19th october 2012.
  • tarehe rasmi ya kufungua chuo bado haijajulikana na mtajulisha haraka iwezekanavyo pale itakapopatikana.
  • wanafunzi wanaombwa kuyaangalia vizuri matokeo yao ya provisional na wenye absent waandike barua kwa faculty cordinator. wale wenye absent ya SWA 206 -bunifu matokeo yao yanarekebiswa na mwalim Chipalo amethibitisha kuwa hana shida na mwanafunzi yeyote kwa wale waliomeja swa 206 na waliofanya kazi za kubuni.
  • wanafunzi wawahi kuripoti chuoni kwani masomo yataanza mara baada ya kufungua ili tuweze kupata mda wa wiki mbili za matayarisho ya mitihani ya ue.
  • wanafunzi wanatakiwa walipe ada mapema ili kuepusha usumbufu
NAKUTAKIENI LIKIZO NJEMA NA MATOKEO MEMA

KHATIB ALI
minister of education

1 comment:

  1. This is what I expected mr.KHATIB ALI,keep it up.Post more and more advertisement concerning student matters.
    Thank you,
    Mr.Ndomba.

    ReplyDelete